Thursday, 19 November 2015

KASSIM MAJALIWA WAZIRI MKUU MPYA WA TANZANIA

Hatimaye Kile kitendawili cha Nani Atakuwa Waziri Mkuu wa Awamu ya Tano Kimepata jibu asubuhi hii.. Rais Amemteua Mh Majaliwa Kassim kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Tanzania Jina hilo limetangazwa leo na Spika wa bunge Mh. Ndugai. Tusubiri kama ataendana na kauli mbiu ya #Hapakazi tu. Je Kwa Maoni yako Anafaa kuwa Waziri Mku...

 

 

<<CLICK HERE TO READ MORE>>

No comments:

Post a Comment